TANGAZO NO 1
RAHISISHA MAISHA, AGIZA TOFARI ZA SIMENT, LIPA KWA AWAMU, JENGA KWA RAHA
Wakazi wa mkoa wa Songwe unaweza sasa kununua tafari kwa kulipa kwa awamu. Zingatia
- 1 – Utalipa kwa kiasi unachotaka kwa muda unaotaka na kumaliza kwa malipo kwa muda uliojipangia mwenyewe
- 2 – Malipo yote yatalipwa banki au wakala wa CRDB, halafu utawasilisha risit ya benki Ihoma stationary, utapewa risiti ya mashine EFD, hii yote ni kwa usalama wa fedha mtaja na kampuni
- 3 – Kama utahitaji kuchukua tofari zako kabla ya muda ulioahidi utaruhusiwa kuchukuatafari za thamani isiyozidi fedha uliyowekeza.
- 4 – Fedhaikilipwa haitarudishwa kwasababu mara tu baada ya kulipwa kiasi hicho kitatumika kuzalisha tofari za thamani hiyo, au hivyo basi apatikane mteja wa kuchukua tofari zako.
- 5 – Tutajari bidhaa za wateja kwa nidhamu kubwa na kumbukumbu za fedha zao.
- KARIBUNI SANA.
TANGAZO NO 2
20/03/2022
UTALIPENDA TANGAZO HILI
SONGWE NI SALAMA UNANAJUA NI KWANINI? FUATILIA
1 SISI WOTE, TUMEPIMA MAAMBUKIZI YA VVU.
2 SISI WENYE VVU TUMEUNGANISHWA NA VITUO VYA HUDUMA KWA UANGALIZI NA MATIBABU,
3 SISI AMBAO HATUNA MAAMBUKIZI YA VVU, TUNACHUKUA HATUA SAHIHI KUJILINDA NA MAAMBUKIZI YA VVU
4 KIZURI ZAIDI SWALA LA MAENDELEO LINATUHUSU WOTE NI JUKUMU LA PAMOJA.
NI VIZURI NA WEWE UKASHAURI KWENU MFANYE HIVYOHIVYO KUIWEKA JAMII YENU SALAMA! UPO!!
TANGAZO NO 3
NAFASI KWA VIJANA UKICHANGAMKIA
DOWNROAD KUPATA MAELEZO
TANGAZO NO 4
MWAGILIA SHAMBA LAKO KWA SOLA
TANGAZO NO 5
Leave a Reply